Test Footer

Misteri

Recent Post

DIAMOND PLATINUM AJIWEKA KWA PENY

Mac For Worlding | 7.9.13 | 0 commentaires

 Diamond Platinum akiwa amelala na Penny.
Ama kwa hakika sielewi na sintoelewa maisha haya ya mastar wa bongo nadhani mtakubaliana nami kuwa leo katika mitandao mingi ya kijamii tumeiona picha ya Msanii wa Bongo Fleva maarufu Diamond Platinum  akiwa amelala na Penny.

kupitia katika mitandao mbalimbali kulikuwa na  maswali mengi sana juu ya picha hiyo ambayo bila kificho imemuanika  Diamond Platinum akiwa amelala na Penny.maswali mengi yaliuliza kama ni wapenzi ama lah,na wengine walijijibu kama sio wapenzi iweje walale vile kimahaba .

Wema sepetu akiwa kalala na Diamond enzi zao
Baadh wameandika kuhusu urafiki wa wema na peny kwa hiyo wakashangaaa kama peny anaweza kufanya uchafu huo,hapo hapo kuna waliosema kuwa inawezekana kwani hili liliwahi kutokea kwa chaz baba na kanumba ambao walikuwa marafiki wakubwa na baadae chazi aliweza kuwa na wema wengine wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa hata joketi alijua kuwa dimond ni wa wema na akamchukua.

  Kumbukumbu zinatuonyesha pia kuwa wema alijua kuwa dimond alikuwa ni wa jackline wolper lakini bila aibu alimchukua kwa hiyo hatuoni cha ajabu kilisema chanzo hicho.

Mama bryan wa mikocheni alisema yeye anachoshangaa ni kuwa picha ya peny na dimond ni sawa na picha ya wema na diamond so naamin kuna kitu hapo lazima mapenzi yameshazama kati kati alisema mama huyo.
Joketi akiwa na Diamond

Wema akiwa na diamond
Baadhi ya mashabiki wameisifia picha hiyo nakutaja dimond kama mwanaume rijali huku wengine wakisema kazidi,Pany ni mtangazaji na mara nyingi amekuwa akifanya vipindi na dimond mwisho nilimuona kwenye kipind chake pale chanel ten siku kidogo.


Tumempigia simu  diamond  kutaka kujua zaidi ambapo alipokea simu na mara baada ya kumsomea mashtaka yake alicheka na kukata simu kwakuwa tunataka habari ilitulazimu tupige tena alipokea na kujibu super star achana nazo bwana kisha akakata tena na tulipopiga tena ilikuwa haipatikan tuliamua kumpigia mtu wa karibu naye na tulipomuuliza alisema mpigieni meneja wake ila akatuambia hiyo ni picha tu tulimpigia manager wa diamond ila hakupatikana  hewan

Dimamond akiwa na joketi
The super startz inafuatilia kwa ukaribu habari hii ili kubaini ukweli na tutawajulisha pindi tutakapobaini ukweli.kumbuka hapa ni  kitovu cha habari za mastar.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 commentaires